Skip to content
1 Samweli 2:1

1 Samweli 2:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Kisha Hana akaomba na kusema: “Moyo wangu wamshangilia Bwana, katika Bwana pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
2
“Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama Bwana, hakuna mwingine zaidi yako; hakuna Mwamba kama Mungu wetu.
3
“Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kiburi, kwa kuwa Bwana ndiye Mungu ajuaye, na kwa yeye matendo hupimwa.
4
“Pinde za mashujaa zimevunjika, lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options