Skip to content
1 Samweli 18:3-4

1 Samweli 18:3-4

3
Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.
4
Yonathani akavua joho alilokuwa amevaa na kumpa Daudi, pamoja na koti lake, silaha zake, hata pamoja na upanga wake, upinde wake na mshipi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options