Skip to content
1 Samweli 17:43-44

1 Samweli 17:43-44

43
Akamwambia Daudi, “Je, mimi ni mbwa, hata unanijia na fimbo?” Yule Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.
44
Tena Mfilisti akamwambia, “Njoo hapa, nami nitawapa ndege wa angani na wanyama wa mwituni nyama yako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options