Skip to content
1 Samweli 17:42-43

1 Samweli 17:42-43

42
Mfilisti akamwangalia Daudi kote na kumwona kuwa ni kijana tu, mwekundu na mzuri wa kupendeza, naye akamdharau.
43
Akamwambia Daudi, “Je, mimi ni mbwa, hata unanijia na fimbo?” Yule Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options