Skip to content
1 Samweli 17:28-29

1 Samweli 17:28-29

28
Eliabu nduguye mkubwa Daudi alipomsikia akizungumza na watu hasira ikawaka juu yake akamuuliza, “Kwa nini umeteremka kuja hapa? Nao wale kondoo wachache kule nyikani umewaacha na nani? Ninajua jinsi ulivyo na kiburi na jinsi moyo wako ulivyo mwovu; umekuja hapa kutazama vita tu.”
29
Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options