Skip to content
1 Samweli 17:2-3

1 Samweli 17:2-3

2
Sauli na Waisraeli wakakusanyika na kupiga kambi katika Bonde la Ela na kupanga jeshi ili kupigana vita na Wafilisti.
3
Wafilisti wakawa katika kilima kimoja na Waisraeli katika kilima kingine, hilo bonde likiwa kati yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options