Skip to content
1 Samweli 17:1-2

1 Samweli 17:1-2

1
Wakati huu Wafilisti wakakusanya majeshi yao kwa ajili ya vita, nao wakakusanyika huko Soko katika Yuda. Wakapiga kambi huko Efes-Damimu, kati ya Soko na Azeka.
2
Sauli na Waisraeli wakakusanyika na kupiga kambi katika Bonde la Ela na kupanga jeshi ili kupigana vita na Wafilisti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options