Skip to content
1 Samweli 15:10-11

1 Samweli 15:10-11

10
Kisha neno la Bwana likamjia Samweli kusema:
11
“Ninasikitika kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha kunifuata mimi na hakutimiza maagizo yangu.” Samweli akafadhaika, naye akamlilia Bwana usiku ule wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options