1 Samweli 14:50-51
50
Jina la mkewe Sauli aliitwa Ahinoamu binti wa Ahimaasi. Jina la jemadari wa jeshi la Sauli aliitwa Abneri mwana wa Neri, naye Neri alikuwa babaye mdogo Sauli.
51
Babaye Sauli yaani, Kishi na Neri baba yake Abneri walikuwa wana wa Abieli.