Skip to content
1 Samweli 14:31-32

1 Samweli 14:31-32

31
Siku ile baada ya Waisraeli kuwaua Wafilisti kutoka Mikmashi mpaka Aiyaloni, walikuwa wamechoka.
32
Watu wakarukia zile nyara, wakichukua kondoo, ngʼombe na ndama, wakawachinja hapo juu ya nchi na kuwala, pamoja na damu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options