Skip to content
1 Samweli 13:9-10

1 Samweli 13:9-10

9
Basi akasema, “Nileteeni hapa sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani.” Naye Sauli akatoa sadaka ya kuteketezwa.
10
Mara alipomaliza kutoa hiyo sadaka, Samweli akatokea, naye Sauli akaondoka kwenda kumlaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options