Přejít k obsahu
1 Samweli 11:12-13

1 Samweli 11:12-13

12
Kisha watu wakamwambia Samweli, “Ni nani yule aliyeuliza, ‘Je, Sauli atatawala juu yetu?’ Tuletee hawa watu, nasi tutawaua.”
13
Lakini Sauli akasema, “Hakuna hata mmoja atakayeuawa leo, kwa kuwa siku hii Bwana ameokoa Israeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options