Skip to content
1 Samweli 10:20-21

1 Samweli 10:20-21

20
Samweli alipoyasogeza makabila yote ya Israeli, kabila la Benyamini likachaguliwa.
21
Kisha akalisogeza mbele kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo, nao ukoo wa Matri ukachaguliwa. Mwishoni Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa. Lakini walipomtafuta, hakuonekana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options