1 Petro 4:7-10
7
Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
8
Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
9
Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
10
Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
Settings