Skip to content
1 Petro 2:22-23

1 Petro 2:22-23

22
“Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.”
23
Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa yeye ahukumuye kwa haki.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options