Skip to content
1 Petro 2:18-19

1 Petro 2:18-19

18
Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wema na wapole peke yao, bali pia wale walio wakali.
19
Kwa maana ni jambo la sifa kama mtu akivumilia anapoteswa kwa uonevu kwa ajili ya Mungu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options