Skip to content
1 Petro 2:1-2

1 Petro 2:1-2

1
Kwa hiyo, wekeni mbali nanyi uovu wote na udanganyifu wote, unafiki, wivu na masingizio ya kila namna.
2
Kama watoto wachanga, waliozaliwa sasa, yatamanini maziwa ya kiroho yasiyochanganywa na kitu kingine chochote, ili kwa hayo mpate kukua katika wokovu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options