Skip to content
1 Petro 1:14-16

1 Petro 1:14-16

14
Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
15
Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
16
Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options