Skip to content
1 Wafalme 9:17-19

1 Wafalme 9:17-19

17
Solomoni akaujenga tena Gezeri.) Akajenga Beth-Horoni ya Chini,
18
akajenga Baalathi na Tamari kwenye jangwa katika eneo la nchi yake,
19
vilevile miji ya ghala na miji kwa ajili ya magari yake na kwa ajili ya farasi wake: chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni, na katika eneo yote aliyotawala.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options