1 Wafalme 8:62-63
62
Kisha mfalme na Israeli wote pamoja naye wakatoa dhabihu mbele za Bwana.
63
Solomoni akatoa dhabihu sadaka za amani kwa Bwana: ngʼombe 22,000, pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na Waisraeli wote walivyoweka wakfu Hekalu la Bwana.