Skip to content
1 Wafalme 8:62-63

1 Wafalme 8:62-63

62
Kisha mfalme na Israeli wote pamoja naye wakatoa dhabihu mbele za Bwana.
63
Solomoni akatoa dhabihu sadaka za amani kwa Bwana: ngʼombe 22,000, pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na Waisraeli wote walivyoweka wakfu Hekalu la Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options