Skip to content
1 Wafalme 8:11-12

1 Wafalme 8:11-12

11
Nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa Bwana ulijaza Hekalu lake.
12
Ndipo Solomoni akasema, “Bwana alisema kwamba ataishi katika giza nene;
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options