Skip to content
1 Wafalme 7:17-18

1 Wafalme 7:17-18

17
Wavu wa mikufu iliyosokotewa kwenye zile taji juu ya zile nguzo, saba kwa kila taji.
18
Akatengeneza makomamanga katika safu mbili kuzunguka kila wavu kuremba mataji yaliyo juu ya nguzo. Alifanya hivyo kwa kila nguzo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options