Fò sí àkóónú
1 Wafalme 3:16-18

1 Wafalme 3:16-18

16
Basi wanawake wawili makahaba walikuja kwa mfalme na kusimama mbele yake.
17
Mmojawapo akasema, “Bwana wangu, mimi na mwanamke huyu tunaishi kwenye nyumba moja. Nilikuwa nimezaa alipokuwa pamoja nami.
18
Siku ya tatu baada ya mtoto wangu kuzaliwa, mwanamke huyu pia naye akazaa mtoto. Tulikuwa peke yetu, hapakuwa na mtu mwingine yeyote katika nyumba isipokuwa sisi wawili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options