Skip to content
1 Wafalme 19:16-17

1 Wafalme 19:16-17

16
Pia mtie mafuta Yehu mwana wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umtie Elisha mwana wa Shafati kutoka Abel-Mehola mafuta awe nabii badala yako.
17
Yehu atamuua yeyote atakayeutoroka upanga wa Hazaeli, naye Elisha atamuua yeyote atakayeutoroka upanga wa Yehu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options