1 Wafalme 12:19-20
19
Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.
20
Waisraeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, wakatuma watu na kumwita kwenye kusanyiko na kumfanya mfalme juu ya Israeli yote. Ni kabila la Yuda peke yake lililobaki kuwa tiifu kwa nyumba ya Daudi.