मुख्य सामग्री पर जाएँ
1 Wafalme 11:9-10

1 Wafalme 11:9-10

9
Bwana akamkasirikia Solomoni kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye alikuwa amemtokea mara mbili.
10
Ingawa alikuwa amemkataza Solomoni kufuata miungu mingine, Solomoni hakutii amri ya Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options