Przejdź do treści
1 Wafalme 11:4-5

1 Wafalme 11:4-5

4
Kadiri Solomoni alivyozidi kuzeeka, wake zake wakaugeuza moyo wake kuelekea miungu mingine, na moyo wake haukujitolea kikamilifu kwa Bwana Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
5
Solomoni akafuata Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, na Moleki mungu aliyekuwa chukizo la Waamoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options