Skip to content
1 Wafalme 11:38-39

1 Wafalme 11:38-39

38
Ikiwa utafanya kila nitakalokuamuru, kuenenda katika njia zangu na kufanya yaliyo sawa mbele za macho yangu kwa kuzishika amri zangu na maagizo yangu kama alivyofanya Daudi mtumishi wangu, nitakuwa pamoja nawe. Nitakujengea ufalme utakaodumu kama ule niliomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.
39
Nitawatesa wazao wa Daudi kwa ajili ya hili, lakini siyo milele.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options