Skip to content
1 Wafalme 1:42-43

1 Wafalme 1:42-43

42
Hata alipokuwa anasema, Yonathani mwana wa kuhani Abiathari akafika. Adoniya akasema, “Ingia ndani. Mtu mstahiki kama wewe ni lazima alete habari njema.”
43
Yonathani akajibu, “La hasha! Mfalme Daudi bwana wetu amemfanya Solomoni kuwa mfalme.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options