Skip to content
1 Yohana 2:3-5

1 Yohana 2:3-5

3
Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.
4
Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.
5
Lakini mtu yeyote anayelitii neno lake, upendo wa Mungu umekamilika ndani yake kweli kweli. Katika hili twajua kuwa tumo ndani yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options