Skip to content
1 Yohana 2:3-4

1 Yohana 2:3-4

3
Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.
4
Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options