Skip to content
1 Yohana 2:22-23

1 Yohana 2:22-23

22
Je, mwongo ni nani? Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye mpinga Kristo, yaani, yeye humkana Baba na Mwana.
23
Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options