Skip to content
1 Yohana 2:20-21

1 Yohana 2:20-21

20
Lakini ninyi mmetiwa mafuta na yeye Aliye Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli.
21
Siwaandikii kwa sababu hamuijui kweli, bali kwa sababu mnaijua, nanyi mnajua hakuna uongo utokao katika kweli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options