Skip to content
1 Wakorintho 6:7-8

1 Wakorintho 6:7-8

7
Huko kuwa na mashtaka miongoni mwenu ina maana kwamba tayari ni kushindwa kabisa. Kwa nini msikubali kutendewa mabaya? Kwa nini msikubali kunyangʼanywa?
8
Badala yake, ninyi wenyewe mwadanganya na kutenda mabaya, tena mwawatendea ndugu zenu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options