Skip to content
1 Wakorintho 6:2-3

1 Wakorintho 6:2-3

2
Je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Nanyi kama mtauhukumu ulimwengu, je, hamwezi kuamua mambo madogo madogo?
3
Hamjui kwamba tutawahukumu malaika? Je, si zaidi mambo ya maisha haya?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options