1 Wakorintho 5:9-10
9
Niliwaandikia katika waraka wangu kuwa msishirikiane na wazinzi.
10
Sina maana kwamba msishirikiane na wazinzi wa ulimwengu huu, au wenye tamaa mbaya, wanyangʼanyi au waabudu sanamu. Kwa kufanya hivyo ingewalazimu mtoke ulimwenguni humu.