Skip to content
1 Wakorintho 2:7-8

1 Wakorintho 2:7-8

7
Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu.
8
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options