1 Wakorintho 2:3-5
3
Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.
4
Kuhubiri kwangu na ujumbe wangu haukuwa kwa hekima na maneno ya ushawishi bali kwa madhihirisho ya nguvu za Roho
5
ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.