1 Wakorintho 15:3-5
3
Kwa maana yale niliyopokea ndiyo niliyowapa ninyi, kama yenye umuhimu wa kwanza: Kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yasemavyo Maandiko,
4
ya kuwa alizikwa na alifufuliwa siku ya tatu, kama yasemavyo Maandiko,
5
na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili.