Skip to content
1 Wakorintho 15:1-2

1 Wakorintho 15:1-2

1
Basi ndugu zangu nataka niwakumbushe kuhusu Injili niliyowahubiria, mkaipokea na ambayo katika hiyo mmesimama.
2
Kwa Injili hii mnaokolewa mkishikilia kwa uthabiti neno nililowahubiria ninyi. La sivyo, mmeamini katika ubatili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options