Skip to content
1 Wakorintho 14:7-8

1 Wakorintho 14:7-8

7
Hata vitu visivyo na uhai vitoapo sauti, kama vile filimbi au kinubi, mtu atajuaje ni wimbo gani unaoimbwa kusipokuwa na tofauti ya upigaji?
8
Tena kama tarumbeta haitoi sauti inayoeleweka, ni nani atakayejiandaa kwa ajili ya vita?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options