Skip to content
1 Wakorintho 13:8-10

1 Wakorintho 13:8-10

8
Upendo haushindwi kamwe. Lakini ukiwepo unabii, utakoma; zikiwepo lugha, zitakoma; yakiwepo maarifa, yatapita.
9
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
10
Lakini ukamilifu ukija, yale yasiyo kamili hutoweka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options