1 Wakorintho 13:8-10
8
Upendo haushindwi kamwe. Lakini ukiwepo unabii, utakoma; zikiwepo lugha, zitakoma; yakiwepo maarifa, yatapita.
9
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
10
Lakini ukamilifu ukija, yale yasiyo kamili hutoweka.