Skip to content
1 Wakorintho 13:5-7

1 Wakorintho 13:5-7

5
Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
6
Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
7
Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options