1 Wakorintho 13:4-6
4
Upendo huvumilia, upendo hufadhili, upendo hauoni wivu, hauna majivuno, hauna kiburi.
5
Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
6
Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.