Skip to content
1 Wakorintho 13:4-6

1 Wakorintho 13:4-6

4
Upendo huvumilia, upendo hufadhili, upendo hauoni wivu, hauna majivuno, hauna kiburi.
5
Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
6
Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options