Skip to content
1 Wakorintho 12:26-27

1 Wakorintho 12:26-27

26
Kama kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.
27
Sasa ninyi ni mwili wa Kristo na kila mmoja wenu ni sehemu ya huo mwili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options