Skip to content
1 Wakorintho 11:7-8

1 Wakorintho 11:7-8

7
Haimpasi mwanaume kufunika kichwa chake kwa kuwa yeye ni mfano wa Mungu na utukufu wa Mungu, lakini mwanamke ni utukufu wa mwanaume.
8
Kwa maana mwanaume hakutoka kwa mwanamke, bali mwanamke alitoka kwa mwanaume.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options