Skip to content
1 Wakorintho 10:16-17

1 Wakorintho 10:16-17

16
Je, kikombe cha baraka ambacho tunakibariki, si ushirika katika damu ya Kristo? Mkate tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
17
Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja, kwa kuwa wote twashiriki mkate mmoja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options