Skip to content
1 Wakorintho 10:10-11

1 Wakorintho 10:10-11

10
Msinungʼunike kama baadhi yao walivyofanya, wakaangamizwa na mharabu.
11
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options