Skip to content
1 Wakorintho 1:7-8

1 Wakorintho 1:7-8

7
Kwa hiyo hamkupungukiwa na karama yoyote ya kiroho wakati mnangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
8
Atawafanya imara mpaka mwisho, ili msiwe na hatia siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options