Rukia maudhui
1 Nyakati 9:1-2

Nasaba na makazi baada ya uhamisho

1 Nyakati 9:1-2
1
Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
2
Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options